Translate

Tangazo la Hadithi

Monday 31 March 2014

Mwanamuziki Shakira akiwa na Familia yake



Shakira akiwa na mtoto wake Milan






Shakira akiwa na mtoto wake Milan






Shakira akiwa na mtoto wake Milan





Shakira akiwa na boyfriend wake ambaye pia ni baba wa mtoto wake, Gerard Pique





Shakira akiwa na wazazi wake




CHEKA UNENEPE - Mke na Mume









Bwana mmoja na mke wake mazungumzo yao yalikuwa kama ifuatavyo:

Mke: Je miaka 10 na mimi ni kama nini?

Mume: Ni kama sekunde.

Mke: Je dola 1000 kwa ajili yangu ni kama nini?

Mume: Ni kama senti.

Mke: OK, nipe basi senti.

Mume: Subiri kama sekunde hivi.









Sunday 30 March 2014

CHEKA UNENEPE - Mzungu na Mchungaji













Mzungu alifiwa na mbwa wake akampeleka kanisani ili aombewe.

MCHUNGAJI akamkaripia kwa ukali na kumwambia hatuombei mbwa hapa!

Mzungu akauliza ni wapi wanaombea mbwa?  maana nina sadaka ya shilingi MILIONI 5 kwa MCHUNGAJI atakayemuombea mbwa wangu!

MCHUNGAJI akajibu, aaah! Mbona hukusema mapema kuwa mbwa wako ni mkristo?

Haya mlete nimuombee! 


Duuuuh, Pesa Bwana!!!









Thursday 27 March 2014

Genevieve Nnaji na Mikel Obi mchezaji wa Chelsea wakipanda Private Jet kwenda ku shuti Movie South Africa










































Muigizaji wa Nigeria Omotola Jalade Ekeinde alivyosherehekea siku yake ya kuzaliwa kutimiza miaka 36 tarehe 7 February mwaka 2014










Safari hii Omotola ambaye pia anajulikana kwa a.k.a ya Omosexy alisheherekea siku yake ya kuzaliwa kutimiza miaka 36 tofauti kidogo kama ilivyozoeleka kwani safari hii alisherehekea na wafanyakazi wake ofisini kwake.


Omotola pia alipata zawadi ya chupa ya champagne (Taste of Diamonds) inayoitwa Gout de Diamants kutoka kwa watengenezaji, yenye thamani ya 1,200, 000 pounds









































Muigizaji wa Nigeria Omotola Jalade Ekeinde alivyosherehekea siku yake ya kuzaliwa kutimiza miaka 35 tarehe 7 February mwaka 2013





Omotola na mume wake Captain Matthew Ekeinde





Omotola na mume wake Captain Matthew Ekeinde





Omotola (wa kwanza kushoto) akiwa na waigizaji wenzake, Chidi Mokeme (wa pili kushoto) Genevieve Nnaji (katikati) Ibinabo Fiberisima (wa pili kutoka kulia) na mume wa Omotola Matthew Ekeinde (wa kwanza kulia)





Omotola akikata keki pamoja na waigizaji wenzake wa Nollywood, Monalisa Chinda (wa kwanza kushoto) Genevieve Nnaji (wa pili kulia) na Ibinabo Fiberisima (wa kwanza kulia)





Omotola akiwa na mchekeshaji maarufu wa Nigeria, AY






Omotola akiwa na muigizaji mwenzake wa Nollywood Chidi Mokeme





Omotola akiwa na muigizaji mwenzake Genevieve Nnaji (kulia) na mchekeshaji maarufu wa Nigeria AY (katikati)





Omotola (katikati) akiwa na waigizaji wenzake wa Nollywood Genevieve Nnaji (kulia) na ibinabo Fiberisima (kushoto)













Genevieve Nnaji akiwa na mwanamuziki Banky W





Genevieve Nnaji akiwa na comedian AY



































Omotola Jalade Ekeinde na familia yake











Omotola Jalade Ekeinde ni msanii maarufu sana kutoka Nigeria. Omotola ambaye pia anajulikana sana kwa jina la Omosexy huko Nigeria ameolewa na ni mama wa watoto 4 ambao ni Princess Ekeinde, M.J Ekeinde, Meriah Ekeinde na Michael Ekeinde




Omotola Jalade Ekeinde





Omotola Jalade Ekeinde





Omotola akiwa na mume wake Captain Matthew Ekeinde





Omotola akiwa na mume wake Captain Matthew Ekeinde






Omotola Jalade Ekeinde akiwa na mume wake Captain Matthew Ekeinde pamoja na watoto wao, M.J Ekeinde (wa kwanza kushoto), Meriah Ekeinde (wa pili kushoto), Princess Ekeinde (wa pili kulia) na Michael Ekeinde (wa kwanza kushoto) 





Omotola Jalade Ekeinde akiwa Italy kwenye mapumziko pamoja na familia yake 




Wednesday 26 March 2014

Rais Museveni wa Uganda na mke wake Janet Museveni walivyosherehekea miaka 40 ya ndoa yao mwezi wa 8 mwaka 2013


















Rais Museveni akiwa na mke wake Janet Museveni na watoto wao na wajukuu zao 













Baadhi ya watoto wa Mfalme Mswati III




 Binti wa kwanza wa King Mswati III Princess Sikhanyiso ambaye anajulikana pia kama Pashu




Binti wa kwanza wa King Mswati III Princess Sikhanyiso ambaye anajulikana pia kama Pashu




Princess Sikhanyiso




Princess Sikhanyiso





Princess Sikhanyiso





Princess Sikhanyiso





Princess Sikhanyiso akiwa na kaka yake Prince Lindani




Mfalme Mswati akiwa na binti yake Princess Sikhanyiso kwenye birthday ya  binti yake huyo ya kutimiza miaka 21 mwaka 2008



Princess Sikhanyiso (kushoto) akiwa na mama yake mzazi ambaye ni mke wa 3 wa Mfalme Mswati wa III anayeitwa Sibonelo Mngomezulu na anayejulikana kama Inkhosikati LaMbikiza 




Mfalme Mswati akiwa na binti yake Princess Tiyandza kwenye birthday ya  binti yake huyo ya kutimiza miaka 21 tarehe 25 mwezi wa 8 mwaka 2013





Mfalme Mswati akimpa binti yake Tiyandza zawadi kwenye birthday yake ya kutimiza miaka 21 tarehe 25 mwezi wa 8 mwaka 2013





Mfalme Mswati akimpa binti yake Tiyandza zawadi kwenye birthday yake ya kutimiza miaka 21 tarehe 25 mwezi wa 8 mwaka 2013



Princess Tiyandza (kushoto) akiwa na mama yake mzazi ambaye ni mke wa 4 wa King Mswati III anayeitwa Carol Dlamini na anayejulikana kama Inkhosikati LaNgangaza