Van Vicker akiwa na Hashim Kambi na binti wa Hashim Kambi kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere.
Translate
Tangazo la Hadithi
Showing posts with label Tanzania.. Show all posts
Showing posts with label Tanzania.. Show all posts
Thursday, 19 September 2013
Msanii Van Vicker wa Ghana atua Bongo
Monday, 1 July 2013
Rais Barack Obama awasili Tanzania na kupokelewa kwa shangwe
Rais Barack Obama amewasili leo nchini Tanzania na kupokewa kwa shangwe na Watanzania. Rais Barack Obama amefika Tanzania akitokea South Africa alikokuwa kwa ziara ya siku mbili. Rais Barack Obama ameambatana pia na familia yake akiwepo mke wake Michelle Obama na watoto wao Malia na Sasha Obama. Akiwa uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere Rais Barack Obama alilakiwa na mwenyeji wake Rais Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe mama Salma Kikwete na viongozi mbalimbali.
Rais Barack Obama akiongozwa na mwenyeji wake Rais wa Tanzania muheshimiwa Rais Jakaya Mrisho Kikwete.
Rais Barack Obama na mke wake Michelle Obama wakipokea maua kutoka kwa watoto mara baada ya kufika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
Rais Barack Obama akicheza ngoma ya utamaduni mara alipowasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere Dar es salaam, Tanzania.
Rais Barack Obama na mkewe Michell Obama pamoja na wenyeji wao Rais Kikwete na mkewe mama Salma Kikwete wakisalimiana na wananchi waliokuja kumlaki katika Ikulu ya Dar es salaam.
Rais Barack Obama na Rais Kikwete wakihutubia waandishi wa habari Ikulu Dar es salaam.
Rais Obama akisalimiana na wananchi mbalimbali waliokuja kumlaki Ikulu ya Dar es salaam
Rais Obama akiwa ameongozana na mkuu wa majeshi ya Tanzania Meja Jenerali Davis Mwamunyange.
Kinamama wakiwa wamevaa kanga zenye sura ya Obama
Akikagua gwaride la heshima
Barack Obama Drive, mandhari ya kupendeza kabisa. Naona mbu wote wamehama kwa muda.
Subscribe to:
Posts (Atom)













