Translate

Tangazo la Hadithi

Showing posts with label Mtanzania afia dubai. Show all posts
Showing posts with label Mtanzania afia dubai. Show all posts

Saturday, 14 September 2013

Mtanzania afia Dubai akiwa na madawa ya kulevya tumboni

Mtanzania mmoja ambaye ametambulika kwa jina moja tu la Chambuso amefariki dunia huko Dubai baada ya kupasukiwa na madawa ya kulevya aliyokuwa amemeza. Inasemekana madawa hayo yaliyeyuka na kumpasukia tumboni kabla ya kufika kwenye kituo husika.